TIMU ya Leopard FC imetawazwa kuwa mabingwa wapya wa Ligi ya Alizeti cup 2017 leo oktoba 27 baada ya kuicha Hawili fc kwa mikwaju ya penaiti 6-5 kati ya penaiti 8 zilizopigwa kwenye Uwanja wa Halmashauri ya wilaya Liwale mkoani Lindi.
Lakini Hawili ilionekana kupania mchezo huo lakini timu ya Leopard fc ilianza kupata bao la kuongoza kupitia kwa Buruhani Ngahata dakika ya 29 na Hawili fc waliweza kusawazisha goli hilo na Huseni Mchite namo dakika ya 35 na matokeo hayo yalipelekea mpaka dakika 90 za mchezo.
Post a Comment