0


Mwenyekiti wa chama cha CHADEMA, Freeman Mbowe asema hataripoti Kituo Kikuu cha Polisi, Dar kwakuwa Mkuu wa Mkoa hana mamlaka ya kumuita.

Kiongozi huyo wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni asema RC Makonda amemchafua yeye, familia yake na kambi ya Upinzani kwa ujumla.
Aidha Mwenyekiti Mbowe ameongeza kuwa yuko tayari kutoa ushirikiano muda wowote endapo utaratibu utafuatwa kuhusu suala hilo.

Post a Comment

 
Top