Rais wa Rwanda, Paul Kagame
Katika mazungumzo na BBC, mwanasiasa huyo anasema lengo la serikali yake ni kuiondoa madarakani serikali ya rais Paul Kagame, anayemlaumu kuvunja sheria na kukandamiza wananchi.
Thomas Nahimana, amekatazwa kuingia Rwanda kujiandikisha kama mgombea wa kiti cha urais, katika uchaguzi mkuu unaopangiwa kufanyika mwezi Agosti mwaka huu.
Baraza lake la mawaziri
Ametangaza tayari baraza lake la mawaziri.- Rwanda kuwapeleleza askari 20 wa Ufaransa
- Rwanda yanunua ndege ya kisasa ya Airbus
- Kagame: Raia wa Rwanda walitaka wenyewe
Chama chake cha Ishema, bado hakijaandikishwa nchini Rwanda.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.