0
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amezungumza na waandishi wa habari kuhusu mlipuko wa ugonjwa wa Kipindupindu kwa baadhi ya maeneo nchini ambapo amesema ndani ya mwezi November mwaka huu wagonjwa 458 wameripotiwa kuugua, sita wamekufa kwa ugonjwa huo.
Aidha Waziri Mwalimu amesema baadhi ya halmashauri nchini zimekuwa zikificha taarifa za wagonjwa wa kipindupindu kwa kuogopa kuchukuliwa hatua na Rais Magufuli.

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Top