0

Mshindi wa Miss Tanzania 2016, Diana Edward akiwapungia Mkono wananchi mara baada ya kuvishwa taji la Miss Tanzania 2016 usiku wa kuamkia leo.


Tano bora

Mshindi wa Miss Tanzania 2016, Diana Edward akiwa na washindi wanne wa kwanza katika kinyang'anyiro cha Miss Tanzania 2016 jiji Mwanza usiku wa kuamkia leo.

Naibu Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Anastazia James Wambura akimkabidhi ufunguo Mshindi wa Miss Tanzania 2016, Diana Edward mara baada ya kuibuka Mshindi wa Miss Tanzania 2016.

Post a Comment

 
Top