Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa (kulia) akitazama samaki aina ya pweza
wakati alipotembelea kiwanda cha samaki cha TANIPESCA eneo la Kilindoni
wilayani Mafia, Mkoani Pwani. Septemba 24, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa (kulia) akiwa ameshika moja ya samaki
aina ya pweza wakati alipotembelea kiwanda cha samaki cha TANIPESCA eneo
la Kilindoni wilayani Mafia Septemba 24, 2016.
Post a Comment