0

Tetemeko la ardhi lenye nguvu ya 6.2 katika vipimo vya Richter limetikisa eneo la Umbria katikati mwa Italia na kufukia watu chini ya vifusi.
Taasisi ya Marekani inayohusika na matetemeko ya ardhi USGS imesema tetemeko hilo lilitokea mwendo wa saa tisa na dakika thelathini na sita usiku saa za Italia (01:36 GMT), 76 km (maili 47) kusini mashariki mwa mji wa Perugia, katika kina cha 10km (maili sita) chini ya ardhi.
Imeripotiwa kuwa tetemeko lilisikika katika miji ya mbali kama vile Roma na Italia. Mji R wa Roma, baadhi ya majumba yalitikisika kwa sekunde 20. Takribani watu 20 wameripotiwa kufariki kwenye tetemeko hilo.
37890EB700000578-3755722-image-m-149_1472017284234 37891EB200000578-3755722-image-a-41_1472020946581 37891EBE00000578-3755722-image-a-37_1472020939289 37891F0A00000578-3755722-image-a-34_1472020931302 37891F0200000578-3755722-image-a-35_1472020935350 37891F6400000578-3755722-image-a-51_1472020972162
37892B3600000578-3755722-image-a-31_1472020129758 37893A8D00000578-3755722-image-a-73_1472023420804 378900B900000578-3755722-image-a-136_1472016321369 378902F300000578-3755722-image-a-12_1472019414100
378920CA00000578-3755722-image-a-22_1472019783957 378920DE00000578-3755722-image-a-48_1472020960598 378921EE00000578-3755722-image-a-17_1472019484863 378927DD00000578-3755722-image-a-26_1472019914451 3789103F00000578-3755722-_The_roads_in_and_out_of_town_are_cut_off_Half_the_town_is_gone_-m-152_1472017382085 3789407B00000578-3755722-image-a-71_1472022565459 3789409F00000578-3755722-image-m-76_1472024773663 3789028700000578-3755722-image-m-124_1472016050098 3789030900000578-3755722-image-a-122_1472016042986 3789268300000578-3755722-image-a-18_1472019572334

Post a Comment

 
Top