0

SAIKOLOJIA NYEPESI

1. "Sawa bwana" (fine). Hutumiwa na mke kumaliza mabishano nawe. Akisema hivyo ujue anahitaji unyamaze.
2. "Dakika tano tu" (five minutes only) Akisema nipe dakika tano wakati unatoka naye maana yake ni nusu saa, ila dakika tano huwa dakika tano kweli kama akikwambia wewe ndani ya dakika tano uwe umerudi nyumbani.
3. "Hamna kitu" (Nothing)Humaanisha ni utulivu wa muda, maswali zaidi yataleta mabishano makubwa.
4. "Endelea tu na mambo yako" (Go Ahead) Anamaanisha "jaribu uone" sio ruhusa ya kukuruhusu uendelee kufanya jambo hilo.
5. "Kushusha pumzi kwa nguvu" (loud sigh) Ni kitendo kinachomaanisha kwamba wewe ni mpumbavu na anapoteza muda wake kubishana na wewe juu ya upumbavu uliofanya.
6. "Hamna tatizo" (that's okay) Huonyesha kuna makosa fulani na kwamba anataka ufikiri zaidi kabla hajaamua kutenda.
7. "Asante" (thank you) Mke akikwambia Asante, wewe mjibu tu "karibu" ina maana kafurahi, ila kama akikwambia "Asante sana" ujue kuna kitu umemuudhi.
8. "Fanya utakalo" (whatever). Ni njia ya kukwambia nenda zako, haunibabaishi (go to hell!!)
9. "Usihofu kuhusu hilo, nimeshaelewa". (Worry not, i know) Ni sentensi tata kutoka kwa mke inayomaanisha wewe siyo mtekelezaji wa ahadi zako.
10. Ni ukweli kwamba mwanamke ni vigumu sana kumuelewa , ila vyovyote vile alivyo, mke ni uumbaji bora kabisa wa Mungu alioufanya. Kuwa na mke ndani ya nyumba huleta utulivu wa nafsi! Mwanzo 2:23 -25
Keep Smiling ..

Post a Comment

 
Top