Habari tulizozipata hivi punde zinasema kuwa Treni imegongana na gari la UDA eneo la Gerezani - Kariakoo jijini Dar es salaam.Taarifa za awali zinasema kuwa ajali hiyo imesababisha kifo cha Watu 6 na kujeruhi watu zaidi ya 40.
Breaking News!! TRENI YAGONGANA NA BASI JIJINI DAR ES SALAAM USIKU HUU,YASABABISHA VIFO NA MAJERU 40
Habari tulizozipata hivi punde zinasema kuwa Treni imegongana na gari la UDA eneo la Gerezani - Kariakoo jijini Dar es salaam.Taarifa za awali zinasema kuwa ajali hiyo imesababisha kifo cha Watu 6 na kujeruhi watu zaidi ya 40.

Post a Comment