Bosi huyo
wa gunnerz amesema hayo kutokana na malalamiko ya mashabiki kuwa timu
yao haipo kiushindani na iyo inatokana na kuuza wachezaji wenye vipaji
na kunnua wachezaji wa kawaida
Amesema
kuwa ni wakati wa kuinngia kwenye ushindani na tutanunua wachezaji wa
kiwango cha dunia wenye ushindani na hatutouza wachezaji wenye vipaji.
Post a Comment