0
                           
Ligi ya Mbuzi Vijana cup imeendelea tena hii Leo kwa mchezo mmoja kupigwa katika  uwanja wa shule ya msingi muungano Wilayani Liwale katika kuhitimisha hatua ya makundi kati ya Sido fc dhidi ya Vijuso fc mchezo ambao umemalizika kwa Sido kuibuka Na goli 1-0. 
Goli pekee la Sido fc lilifungwa Na Haikosi mpwate katika dakika ya 65 ya mchezo huo ligi hiyo itaendelea tena tarehe 26 mwezi huu kwa mechi za robo fainali.

Timu zilizoingia hatua ya robo final                
                                                   
katika kundi A 
 Kigamboni FC
 Kombaini FC
  Mnalani FC
Likongowele FC

    Kundi B       
 Sido FC
Bodaboda FC 
 Wakaanga sumu  
 Vijuso FC


Post a Comment

 
Top