Kouyate alipewa kadi nyekundu dakika ya 67
Nyota huyo wa Senegal alifukuzwa uwanjani dakika ya 67 baada ya kumkaba Dwight Gayle, klabu yake ya West Ham ikiongoza 2-1 uwanjani Upton Park.
Mechi hiyo ilimalizika 2-2.
Kadi hiyo nyekundu ingemfanya Kouyate, 26, akose kucheza mechi hiyo ya nyumbani dhidi ya Gunners.
FA imesema kupitia taarifa: "Tume huru ya kusikiza malalamiko imeamua kwamba mchezaji huyo alifukuzwa uwanjani kimakosa.”
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.