UAE imekuwa ikishiriki katika mashambulio ya muungano wa mataifa yanayoongozwa na Saudi Arabia kutekeleza mashambulio ya angani kumuunga mkono Rais Abedrabbo Mansour Hadi tangu Machi 2015.
Watu 6,000 wameauawa kwenye mapigano nchini Yemen.
Hicho ndicho kisa cha kwanza cha kutoweka kwa ndege ya UAE kwenye mapigano hayo.
Jeshi la wanahewa la UAE hutumia ndege za kivita aina ya F-16 na Mirage 2000.
Desemba, ndege aina ya F-16 ya jeshi la Bahrain ilianguka Saudi Arabia kutokana na “hitilafu za kimitambo”, na mwezi Mei ndege ya kivita ya Morocco ilitunguliwa nchini Yemen.
Ndege hizo mbili zilikuwa zikishiriki mashambulio dhidi ya waasi wa Houthi.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.