Dk. Mwenesano akisoma taarifa yake kwa wanahabari (hawapo pichani) kuhusu kuongeza muda wa kazi hospitalini hapo kutoka saa tisa alasiri hadi saa 12. Vilevile huduma zitaanza kutolewa siku ya Jumamosi ambapo hapo awali kulikuwa hakuna huduma.
Muhimbili yaboresha huduma zake
Dk. Mwenesano akisoma taarifa yake kwa wanahabari (hawapo pichani) kuhusu kuongeza muda wa kazi hospitalini hapo kutoka saa tisa alasiri hadi saa 12. Vilevile huduma zitaanza kutolewa siku ya Jumamosi ambapo hapo awali kulikuwa hakuna huduma.
Post a Comment