Tottenham 4 - 1 Sunderland
Bournemouth 3 - 0 Norwich
Chelsea 2 - 2 Everton
Man City 4 - 0 Crystal Palace
Newcastle 2 - 1 West Ham
Southampton 3 - 0 West Brom
7.37pm:Gooooooooal Mancity 4 0 Crystal Palace
David Silva afunga
7.35pm:GOAL - Southampton 3-0 West Brom
7.30pm:GOAL - Chelsea 2-2 Everton
7.22pm:Gooooooooal Aguero aifungia bao la pili na la tatu kwa juma kilabu yake ya Manchester City.City 3-0 Crystal palace
7pm:Kipindi cha pili cha mechi kati ya Mancity dhidi ya Crystal Palace chaanza
6.47pm:Everton 0-0 Chelsea.Mechi hiyo inakujia baada ya kocha Guus Hidink kutamka kwamba Chelsea ipo katika tishio la kushushwa daraja.
6.45pm:Na Kipindi cha kwanza cha mechi kati ya Manchester City dhidi ya Crystal palace chakamilika
Newcstale 2-0 West ham
6.36pm:Hali ilivyo katika matokeo mengine ya ligi ya Uingereza
Tottenham 4 - 1 Sunderland FT
Bournemouth 1 - 0 Norwich L
Chelsea 0 - 0 Everton L
Man City 1 - 0 Crystal Palace L
Newcastle 2 - 0 West Ham L
Southampton 2 - 0 West Brom L
6.35pm:Manchester City yazidi kushambulia lango la Crystal palace
Post a Comment