0

Tottenham 4 - 1 Sunderland
Bournemouth 3 - 0 Norwich
Chelsea 2 - 2 Everton
Man City 4 - 0 Crystal Palace
Newcastle 2 - 1 West Ham
Southampton 3 - 0 West Brom

7.37pm:Gooooooooal Mancity 4 0 Crystal Palace
David Silva afunga

7.35pm:GOAL - Southampton 3-0 West Brom

7.30pm:GOAL - Chelsea 2-2 Everton
7.22pm:Gooooooooal Aguero aifungia bao la pili na la tatu kwa juma kilabu yake ya Manchester City.City 3-0 Crystal palace

7pm:Kipindi cha pili cha mechi kati ya Mancity dhidi ya Crystal Palace chaanza

6.47pm:Everton 0-0 Chelsea.Mechi hiyo inakujia baada ya kocha Guus Hidink kutamka kwamba Chelsea ipo katika tishio la kushushwa daraja.

6.45pm:Na Kipindi cha kwanza cha mechi kati ya Manchester City dhidi ya Crystal palace chakamilika

 
Wijnaldum,
"Krosi nzuri na ambaye amefunga mabao kadhaa kwa Newcastle msimu huu aliongeza idadi hiyo .lakini kwa jumla ni bao lililofungwa kwa uzuri sana.
Newcstale 2-0 West ham

 
Kun Aguero aipatia City bao lake la pili
5.38pm:Goooooooal Kun Aguero aipatia Manchester City bao la pili na kuimarisha hari yao ya kuwa katika kilele cha ligi ya Uingereza

6.36pm:Hali ilivyo katika matokeo mengine ya ligi ya Uingereza
Tottenham 4 - 1 Sunderland FT
Bournemouth 1 - 0 Norwich L
Chelsea 0 - 0 Everton L
Man City 1 - 0 Crystal Palace L
Newcastle 2 - 0 West Ham L
Southampton 2 - 0 West Brom L

6.35pm:Manchester City yazidi kushambulia lango la Crystal palace

 
Wachezaji wa mancity wakisherherekea
6.10pm:Gooooooal Kiunga wa kati wa Mancity Fabian Delph aiweka mbele Manchester City na kuipa fursa timu hiyo kupanda katika jedwali la ligi ya Uingereza.

 
Aguero akifanya mashambulizi
6pm:Mechi kati ya Mancity dhidi ya Crystal palace yaanza.

Post a Comment

 
Top