0


                    
                  Mbunge viti maalum mheshimiwa Lathifah Chande Kigwalilo
Katibu wa chadema wilayani  Liwale mkoni Lindi,Ndugu, Zidadu A. Matila anampongeza muheshimiwa Lathifah  kigwalilo mbunge viti maalum kupitia jimbo la Liwale  (chadema) kwa kusaidia chama cha mpira wa miguu wilayani  Liwale (Lidifa) kuchangia kiasi cha shilingi milioni moja (1,000,000) kwa lengo la  kuodhi uwanja wa wilaya ili kufanyikisha kufanyika kwa  mashindano ya ligi  daraja ya tatu ngazi ya mkoa yanayotarajia kufanyika mwezi wa pili mwaka huu.

Post a Comment

 
Top