25 wateketea katika hospitali Saudi Arabia
Walionusurika na majeruhi wamehamishwa kupelekwa katika hospitali zingine.
Haijabainika kile kilicho sababisha moto huo na sasa uchunguzi unandelea .
Picha za tukio hilo zilizochapishwa kwenye jarida la kila siku la Okaz zinaonesha mabaki ya hospitali hiyo yaliyotekekea na kuharibika kabisa.
Mji wa wa Jazan uko karibu na mpaka wa Saudia na Yemen taifa ambalo limesakamawa na vita kati wenyewe kwa wenyewe.
Mapema mwezi huu kombora lililokuwa likielekea Jazan lilidunguliwa na majeshi ya Saudia hata hivyo hivyo haijabainika kufikia sasa iwapo moto huo unauhusiano wowote na mapigano yanayoendelea huko Yemen.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.