0

Mahakama ya Frankfurt nchini Ujerumani leo imemhukumu kifungo cha maisha jela Meya wa zamani wa Rwanda,Onesphore Rwabukombe , baada ya kupatikana na hatia ya kuchochea mauaji ya kimbari ya zaidi ya watu 400 nchini Rwanda mwaka 1994, wengi wao wakiwa Watutsi. Tom Ndahiro mtafiti wa masuala yanayohusu mauaji ya kimbari, anaelezea jinsi alivyoipokea hukumu hiyo. BOFYA HAPA KUSIKIZA SAUTI

Post a Comment

 
Top