Katibu
Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Jumanne Sagini ametoa siku 14 kwa
Afisa Ardhi, Mhandisi wa Majengo na Afisa Mipango Miji Manispaa ya
Morogoro kuandika maelezo ya kwanini wasifukuzwe kazi kutokana na
kufanya kazi chini ya kiwango na kukiuka maadili ya utumishi wa umma
Pia
kushindwa kuzuia ujenzi wa holela katika maeneo yasiyo rasmi pamoja na
kuwepo kwa malalamiko kutoka kwa wananchi juu ya ofisi hizo.
Post a Comment