Ndugu zangu wanaliwale na wadau wa LIWALE NATIVE tumempoteza kijana au member mwezetu MIRAJI NDOLLO ambae
amefariki leo majira ya mchana katika kijiji cha Kibutuka wilayani Liwale mkoani Lindi anatarajiwa kuzikwa kesho Jumatatu kijijini kwao KIBUTUKA duha na maombi
yenu ni muhimu sana
Enzi ya uhai wake Miraji Ndolo
Enzi ya uhai wake Miraji Ndolo
Post a Comment