0


Meya wa manispaa ya ilala Mhe.Jerry Silaa akiwasikiliza wananchi na watendaji waliofika kushuhudia yeye na timu nzima ya watendaji wa manispaa ya ilala wakiwa katitka daraja la ukonga mazizini baada ya kufanya ziara ya ghafla katika eneo hilo kushuhudia maendeleo ya ujenzi wa daraja hilo alilowaahidi kujengwa kabla ya kipindi cha uchaguzi mkuu ujao...
Msikie meya Huyu wa ilala hapa tunamnukuu....

''Tumehamishia ofisi Mombasa Mazizini....
Meya,Naibu Meya, Mkurugenzi,Mwekahazina,Mhandisi,Mwanasheria,Mepo,Diwani,Wenyeviti wa Mitaa....
Naamini suluhu itapatikana. Daraja hili limejengwa kwa taarifa ya mwananchi tu....Hiyo ni kauli ya mstaiki meya wa Ilala mhe.Jerry Silaa wakati alipohamishia ofisi nzima(watendaji)wa manispaa yake katika eneo la Ukonga mazizini linapojengwa Daraja ambalo limeshakuwa kero kwa wananchi wa ukonga zaidi ya miaka kumi..Hongera sana Jerry Silaa kwa kazi nzuri na ya mfano kwa wanchi wa Ukonga na manispaa ya Ilala kwa ujumla.

Post a Comment

 
Top