0
TASWIRA YA AJALI ILIYOTOKEA LEO MSAADA GEREJI-BUGURUNI

Ajali ilipotokea ambapo ilihushwa baiskeli,bajaji na pikipiki na kupelekea mwendesha pikipiki kumgonga dada mmoja mwanachuo wa DSJ

 Pikipiki iliyosababisha ajali maeneo ya kituo cha msaada gereji-Buguruni ambapo kuna  majengo ya Chuo cha  TSJ na DSJ tukio hili limetokea majira ya saa 4:40 leo katika tukio hili dereva aliyegonga alitimua mbio ndipo wasamilia wema alianza kumkimbiza na kumkamata.
Mwanachuo aliyepata ajali ambapo ajafahamika jina lake amekimbizwa hospitali kwa matibabu zaidi.

               Mashuhuda na wasamilia wema  wakitoa msaada katika eneo la tukio

                             mashuhuda wa tukio wakiwa eneo la tukio
Dereva wa pikipiki akilazimishwa aingie ndani ya TAX ili amsindikie mgonjwa akatibiwe hali hii ya kuzonga watu baada ya kujaribu kutimua mbio na kukamatwa dereva huyo.

Post a Comment

 
Top