Simba aliyejeruhi mkazi mmoja katika kijiji cha Kipule wilayani akiwa ameuawa na kupelekwa bomani
Liwale Lindi
Mkulima mmoja wa kijiji cha
kipule kata ya Kipule wilayani Liwale mkoani Lindi amejeruhiwa mkononi na simba akiwa shambani tukio hili limetokea juzi januari 21 mwaka 2015 majira ya jioni kijijini hapo.
Kabla ya kujeruhi katika kijiji hicho simba huyo alionekana maeneo ya
kaburi moja katika kata ya Nangando Liwale mjini.Baada ya kutokea tukio hilo walitoa taarifa sehemu husika na askari wa wanyamapoli wakaenda kijijini hapo Jana Januari 22 jioni kwa kufanya msako na leo asubuh ndio
wakafanyikiwa kupiga risasi na kufanyikiwa kuawa.
Mzoga huo wa simba ulipekwaofisi za bomani kisha kuurudisha katika ofisi za maliasili zilizopo wilayani Liwale.
Post a Comment