Vurugu
za aina yake ziliibuka Bungeni jana usiku baada ya UKAWA
Kugoma kuendelea na mjadala wa Bunge wakishinikiza Waziri
Muhongo awajibishwe....
Vurugu
hizo ziliibuka baada ya kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani
bungeni, mh. Freeman Mbowe kusimama na kumtuhumu Spika wa bunge
kuwakumbatia wezi wa Pesa za Escrow, hali iliyowafaya wabunge
wa upinzani wasimame na kuanza kuimba nyimbo za kuwataka wezi
watoke ndani ya ukumbi wa bunge... Hali hii ilimlazimu spika wa bunge kuahirisha bunge mpaka watakapojadiliana.
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka Watanzania wasikubali kuchonganishwa na kwamba Serikali haiongozwi kwa misingi ya kidini bali imeziachia ta...Read more »
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionAliyekuwa beki wa zamani wa klabu ya Real Madrid fernando Hierro
Aliyekuwa beki wa Real Madrid Fernando ...Read more »
MKURUGENZI wa Huduma na Elimu kwa mlipa kodi Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Richard Kayombo akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Kigom...Read more »
Post a Comment
aprieztmkrdezign
218168578325095
Emoticon
Click to see the code! To insert emoticon you must added at least one space before the code.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.