Ilivyokuwa jana katika viwanja vya mashujaa Mtwara katika uzinduzi wa
Magic Fm si mchezo ilikuwa ni
sheeeeeeeeedaaaaaaaaaaa........!!!!!!!!!!!!!!! kulikuwa na burudani ya aina yake Jukwanii kulikuwa na wasanii wengi maarufu kama mzee Yusuph na wengine.
wakazi na mashabki wa Magic FM mtwara wakiwa katika viwanja vya Mashujaa Mtwara
Kila mkazi wa Mtwara na mshabiki wa Magic FM hakutaka asimuliwe alienda kushudia show ya aina yake.
Post a Comment