Bodabodas wa wilaya ya Liwale
Mkuu wa wilaya Liwale Ephraim Mmbaga
amewataka vijana wilayani kuacha Tabia ya kujichukulia hatua na sheria
mkono pia awaomba kutoa ushirikiano kwa vyombo vya ulinzi na usalama
kwa
lengo la kudumisha amami.umoja na mshikamamo haya ameyasema kwenye
uzinduzi wa KATIBA ya chama cha bodaboda.
Post a Comment