Afisa
wa polisi akisimamia mizigo ya abiria waliokuwa wakisafiri katika basi
la SB lenye namba za usajili T607 BDG lililokuwa njiani kuelekea Dar es
salaam kutoka Nachingwea na kupata ajali katika kijiji cha Mchinga
mkoani Lindi. Abiria 21 wamejeruhiwa na wamelazwa kwa matibabu katika
hospitali ya mkoa Lindi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment