Image captionMkufunzi wa Ujerumani Germany Joachim Low
Mkufunzi wa Ujerumani Germany Joachim Low, mkufunzi wa Juventus Max Allegri, kocha wa Monaco Leonardo Jardim na mkufunzi wa Celtic Brendan Rodgers ni miongoni mwa wakufunzi walioorodheshwa kumrithi Wenger. (Mirror)
Mkufunzi wa zamani wa Chelsea Carlo Ancelotti, 58, amesema kuwa atakubali ombi kutoka kwa Arsenal. (Evening Standard)
Image captionMkufunzi wa zamani wa Chelsea Carlo Ancelotti, 58, amesema kuwa atakubali ombi kutoka kwa Arsenal. (Evening Standard)
Arsene Wenger anataka kuendelea na ukufunzi mara tu atakapoondoka Arsenal . (Goal)
Raia huyo wa Ufaransa hana lengo la kujiuzulu kutoka kwa soka na huenda akachukua wadhfa wa kuifunza timu ya kitaifa, huku akipigiwa upato kuchukua kazi ya ukufunzi katika klabu za Monaco au Everton(Telegraph)
Arsene Wenger aliweka habari za kuondoka kwake Arsenal kuwa siri kubwa kutoka kwa wachezaji na akazungumzo kuhusu habari hizo muda mfupi kabla ya kusambaa siku ya Ijumaa Friday. (sun)
Image captionMkufunzi wa Manchester City Pep Guardiola, 47, ataanzisha mazungumzo na klabu hiyo kuhusu kandarasi mpya mwisho wa msimu
Mkufunzi wa Manchester City Pep Guardiola, 47, ataanzisha mazungumzo na klabu hiyo kuhusu kandarasi mpya mwisho wa msimu huu huku raia huyo wa Uhaispania akitarajiwa kuanza kuhudumia miezi yake 12 ya kandarasi yake ya miaka mitatu.(Manchester Evening News)
Paris St-Germain wana wasiwasi kwamba mshambuliaji wa Brazil Neymar ana mpango wa kuhamia Real Madrid.(Marca, via Mail)
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionNeymar
Mchezaji anayelengwa na klabu ya Tottenham Wilfried Zaha amesema kuwa angependelea kusalia katika klabu ya Crystal Palace, ambayo ndio klabu ya nyumbani ya mchezaji huyo wa Ivory Coast (Independent)
Real Madrid imejiandaa kulipa dau kubwa kwa mshambuliaji wa Bayern Munich na Poland Robert Lewandowski, 29, kuhamia klabu hiyo (Sky Sports)
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionReal Madrid imejiandaa kulipa dau kubwa kwa mshambuliaji wa Bayern Munich na Poland Robert Lewandowski, 29, kuhamia klabu hiyo (Sky Sports)
AC Milan inataka kumsajili mshambuliaji wa Juventus Mario Mandzukic, lakini mchezaji huyo pia analengwa na vilabu vya ligi ya Chinese Super League. (Calicomercato)
Mkufunzi wa Tottenham Mauricio Pochettino haamini kwamba yeye na mwenzake wa Manchester United Jose Mourinho wanakabiliwa na shinikizo kuuu kushinda taji msimu huu huku wakijiandaa kwa mechi ya nusu fainali ya kombe la FA siku ya Jumamosii . (Times - subscription required)
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionAliyekuwa beki wa zamani wa klabu ya Real Madrid fernando Hierro
Aliyekuwa beki wa Real Madrid Fernando ...Read more »
Image captionMwandishi wa habari wa Ghana Anas Aremayew Anas akihojiwa na wanahabari kuhusu makala yake ya upelelezi yaliochukua miaka miwili
Takriba...Read more »
Haki miliki ya pichaSPORTPESA
Mabingwa wa ligi ya Tanzania bara Simba wametinga fainali ya michuano ya Super Cup ya kampuni ya Sportspesa baada ya ku...Read more »
Image captionAliyekuwa kocha wa Ufaransa na PSG Laurent Blanc
Chelsea inakaribia kumsajili aliyekuwa kocha wa Ufaransa na PSG Laurent Blanc kuchukua ...Read more »
Mwanamasumbwi wa Marekani Floyd Mayweather ametetea taji lake katika porodha ya Forbes ya wanamichezo wanaopata mapato ya juu zaidi duniani.
...Read more »
Mshambuliaji wa Liverpool na Senegal Sadio Mane, 26, alikubali kujiunga na Real Madrid kabla ya Zinedine Zidane kujiuzulu kama kocha wa mabingwa hao...Read more »
Post a Comment
aprieztmkrdezign
218168578325095
Emoticon
Click to see the code! To insert emoticon you must added at least one space before the code.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.