Simba 4-0 Njombe Mji
Mbao Fc 0-0 Azam Fc
Mbeya City 2-0 Ruvu Shooting
Lipuli Fc 1-0 Majimaji
Mtibwa Sugar 1-0 Tanzania Prisons
Ndanda Fc 0-0 Singida United

Kesho Jumapili oktoba 22 kutakuwa na mechi moja ya kukamilisha mzunguko wa saba ambapo Stand United itacheza na Yanga katika uwanja wa Kambarage Shinyanga
Post a Comment