0
Ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara imeendelea tena leo Jumamosi  Oktoba 21, 2017 kwa michezo sita ya mzungukowa saba katika viwanja mbalimbali. matokeo ya mechi zote za leo ni haya hapa chini

Simba 4-0 Njombe Mji

Mbao Fc 0-0 Azam Fc

Mbeya City 2-0 Ruvu Shooting

Lipuli Fc 1-0 Majimaji

Mtibwa Sugar 1-0 Tanzania Prisons

Ndanda Fc 0-0 Singida United
No automatic alt text available.
Kesho Jumapili oktoba 22 kutakuwa na mechi moja ya kukamilisha mzunguko wa saba ambapo Stand United itacheza na Yanga katika uwanja wa Kambarage Shinyanga

Post a Comment

 
Top