
BBC imepata nafasi adimu ya kuingia katika kambi kubwa inayowazuia wakimbizi nchini Libya, na kukuta wakiwa katika hali mbaya.
Wanaoshikiliwa wanasema wamejazwa katika vyumba mpaka kufikia hatua ya kulala wakiwa wamesimama.Hawana huduma muhimu kama maliwato,huku chakula kikiwa ni cha shida.
Msimamizi wa eneo hilo anasema wanahitaji misaada ya kibinaadam kuweza kuwasaidia.
Post a Comment