Mfungwa mmoja ambaye alikaa gerezani miaka 17 kwa uhalifu wa wizi ambao hakutenda ameelezea furaha yake baada ya wachunghuzi kumpta mtu anayemfanana.
Richard Anthony Jones kutoka jimbo la Kansas aliachiliwa kutoka gerezani baada ya watoa ushahidi kusema kuwa hawangetofautisha kati ya wanaume hao wawili.
Kufuatia hilo jaji akaamua kuwa hakukuwa na ushahidi wa kuendelea kumzuia gerezani.
Bwana Jones anasema kupatikana picha ya mwanamume ambaye wanafanana na aliye na jina la kwanza kama lake ni kama baraka.
Hata hivyo hakuna kesi iliyowaslishwa dhidi ya mtu wanayefanana ambaye alitoa ushiai katika kshi ya Jones na kukana mwenyewe kutenda uhalifu
Bwana Jones alihukumiwa kufuatia ushahidi uliotoleka na watu walioshuhudia.
Hakukuwa na ushahidi wa DNA au alama za vidole zilizomuhusisha na uhalifu ulitokea.
Post a Comment