Azam fc ya Dar es Salaam imelazimiswa sare ya bila kufungana na timu
ya Jamhuri kutokea kisiwani katika mwendelezo wa kombe la mapinduzi
linaloendelea kutimua vumbi katika uwanja mmoja wa Amani visiqwani Zanzibar
Mchezo huo
uliorindima majira ya saa 2:30 za Usiku Azam fc walipewa nafasi kubwa ya kupata ushindi katika
mchezo huo kutokana na Jamhuri kupoteza mchezo wake wa kwanza kwa kufungwa
mabao 6-0 dhidi ya Dar es Salaam Young
African na kuonekana ni timu zaifu kutoka na makosa mbali mbali yalionekana
katika mchezo huo ikiwemo safu ya ulinzi,viungo na ushambuliaji
Licha ya azam kucheza vizuri muda wote hasa katika
eneo la kiungo lakini safu ya ushambuliaji iliyoongozwa na nahodha John Rarael
Boko ilionekana kutokua imara muda mote kutokana na kukosa kufunga nafasi Za
wazi walizokuwa wanazipata
Kutokana na matokeo hayo azam wanaendelea kuketi
katika nafasi ya pili katika msimamo wa kundi B huku Yanga ikiendelea kuongoza
kundi hilo ikiwa na point 6 na magoli 8
Post a Comment