SOMA HII; PENZI TIMILIFU HUWA NA SIFA HIZI…
Tarehe
kama ya leo mwaka 1961 ardhi ya Tanganyika ambayo hii leo ni sehemu ya
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilijikomboa na kupata uhuru.
Tanganyika
ilianza kukoloniwa na Ujerumani mwaka 1880 hadi mwaka 1919 wakati
ilipoanza kukoloniwa na Uingereza na kuendelea kuwa chini ya udhibiti wa
mkoloni huyo hadi ilipojipatia uhuru wake wa kujitawala tarehe kama ya
leo. Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliteuliwa kuwa Waziri Mkuu
wa Tanganyika na baadaye akachaguliwa kuwa Rais wa kwanza wa
Tanganyika. Baadaye Aprili 26, 1964 Tanganyika iliungana na Zanzibar na
kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.


Post a Comment