0
CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimesitisha kwa muda wa mwezi mmoja maandamano ya UKUTA yaliyopangwa kufanyika kesho nchini kote.


Katika mkutano wa leo uliofanyika makao makuu ya chama hiko Kinondoni,Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe Mbowe amesema kuwa maandamano hayo wameyasoigeza mbele hadi mwezi wa 10 tarehe 1.

Habari kamili ijakuijia hivi punde endelea kufuatilia nasi

Post a Comment

 
Top