0

Hatua ya robo final ya ligi ya mbuzi vijana cup inayofanyika wilayani Liwale imeanza jana kwa mchezo mmoja kupigwa  katika uwanja wa Shule ya msingi muungano.

Mchezo huo ulikuwa ni kali na wa kusisimua mashabiki wa mpira mchezo ulikuwa kati ya Wakaanga sumu fc  dhidi ya Kigamboni fc, Mchezo ulio malizika kwa Wakaanga sumu kuibuka na ushindi wa goli 2-1.

 

Post a Comment

 
Top