
Kupitia
Mkutano huo ameweza kuwashukuru wananchi kwa kuweza kumuamini na kumpa
kura ya Ndio katika Uchaguzi wa wabunge na Madiwani uliopita na Kumfanya
yeye kuwa mwakilishi katika Bunge la 11.

Aidha
Mh Kaunje amesema anafanya kila jitihada kuhakikisha anapambana na Kero
mbalimbali zinazolikabili jimbo la Lindi Mjini hasa katika eneo la
Upatikanaji wa Maji ya Uhakika.
Kaunje amewahakikishia kuwa yeye ni mbunge imara na yupo bungeni kwa ajili ya kuwawakilisha wananchi wa Lindi.

Mkutano huoa ulihudhuriwa na Mke wa Rais Mstaafu wa awamu ya nne Mama Salma Kikwete ambaye alikuwa Mgeni Rasmi.
Post a Comment