Ligi ya Mbuzi vijana cup inayofanyika wilayani Liwale mkoani Lindi
Leo mei 29 kulikuwa na mchezo wa robo fainali mchezo ulipigwa ktk uwanja wa Shule ya msingi muungano kati ya timu Likongowele fc vs Bodaboda fc.
Leo mei 29 kulikuwa na mchezo wa robo fainali mchezo ulipigwa ktk uwanja wa Shule ya msingi muungano kati ya timu Likongowele fc vs Bodaboda fc.
Mpaka mchezo unamalizika dakika 90 MATOKELikongowele fc 0-2 Bodaboda Magoli yote ya Boda Boda fc yalifungwa na Faraja katika dakika ya 25 na dakika ya 80
Mecho wa jana kati Vijuso fc vs kombaini fc utarudiwa kesho jioni ndani ya dk 7 ikitokea sare zitapigwa penaiti.
Post a Comment