Meneja
Masoko wa Access Bank Bw Muganyizi Bisheko (Katikati) Akiwa na Meneja
Masoko wa Resolution Insurance Bi Angela Tungaraza Pamoja na Afisa
Masoko wa SDS Bw Karoli Anatory wakati wakiongea na Waandishi wa Habari
Kuhusu semina iliyoandaliwa kwajili ya Wajasiriamali wa Kati na wa Kti
itakayowasaidia Kujifunza Mbinu mbalimbali za Kujitangaza Kibiashara
kwa Grarama Nafuu.Mgeni Rasmi ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda
Biashara na Uwekezaji Mh Dk Adelhelm Meru.Pia watakuwepo wataalamu
Mbalimbali wa maswala ya Biashara na Masoko.Semina hiyo imeandaliwa na
Benki ya Access Bank kwa kushirikiana na Clouds Media group,Resolution Insurance na sds
Wafanyabiashara
wote kutoka Jiji la Dar es salaam na Mikoa ya Jirani wanakaribishwa
kuja kujifunza mbinu Mbalimbali za Kukuza Biashara zao, Semina Hiyo
itafanyika Tarehe 23.04.2016 kuanzia Saa tano asaubuhi kwenye ukumbi wa
Coco Beach jijini Dar es salaam
Semina
hiyo iliyoandaliwa kwa Pamoja na AccessBank ,Clouds Media
group,Resolution Insurance na sds Hakutakuwa na Kiingilio ni Bure
Kabisa,Pia kutakuwa na watoa Mada Mbalimbali waliobobea kwenye maswala
ya Biashara ,Washiriki wote wa semana hiyo Wanatakiwa Kujisajili kwa
Kupiga simu namba 0658370633
Wafanyabiashara
wa Chini na kati ni nafasi ya Kujifunza mbinu mBalimbali za Kukuza na
kuendesha Biashara zao,Pia kujua namna ya Kukabilian naChangamoto
Mbalimbali zinazowakabili katika Biashara zao za Kila siku
Post a Comment