1


Kiukweli barabara zetu za usafiri toka wilayani liwale mkoani Lindi kupitia barabara ya Nangurukuru kilwa adi Dar ni mbaya sana asa masika kipindi kama hiki cha mvua nyingi na magari yananasa kila siku kutokana na ubovu wa barabara hiyo na msaada unakuwa  mgumu pia serikali  hiyone hii hali maana watu wanalala njiani kwa zaidi ya siku mbili njiani
Tazama hizi picha hapa chini ujionee..

Post a Comment

  1. Duuuh ni hatari,,,, bunge wetu anaona hili alifanyie kazi

    ReplyDelete

 
Top