Vijana
wakiwa wamekaa nje baada ya nyumba wanazoishi kujaa maji maeneo ya
Jangwani jijini Dar es Salaam kufuatia mvua zilizonyesha leo.
Kituo
cha daladala za kwenda Gongolamboto cha Suwata Kariakoo kikiwa kimejaa
maji hivyo kuleta adha kwa watumiaji kufuatia mvuo hizo.
Dimbwi la maji likiwa mbele ya jengo la Yanga.
Daraja la Jangwani na Kituo cha mabasi ya mwendokasi kikiwa kizingirwa na maji.
Magari yakipita kwenye dimbwi la maji barabara ya mtaa wa Lindi Ilala.
Moja
ya vibanda wanavyoishi wananchi waliobomolewa eneo la Kinondoni
Mkwajuni maji yakipita katikati yake jambo ambalo ni hatari kwa watu
wanaoishi ndani humo.
Nyumba ikiwa imezingirwa na maji eneo la Mchikichini Ilala kufuatia mvua hiyo iliyonyesha leo
Post a Comment