0
Mmiliki wa hit song ya ‘Utanipenda‘ Diamond Platnumz amezidi kuziandikaheadline katika ulimwengu wa sanaa baada ya usiku wa leo kuzinyakua tuzo mbili zaHipipo Awards zilizofanyika Uganda.


Ushindi alioupata ni Nyimbo bora Afrika Mashariki na Video bora Afrika Mashariki ambazo zote ni kupitia wimbo wa Nana.


Baada ya ushindi kupitia account yake ya Instagram Diamond aliandika maneno haya
MONDDDDDDDDDDD

Post a Comment

 
Top