Leo December 31 mtu wangu wa nguvu ukiwa
unasubiria na kuomba mungu uweze kuuona mwaka 2016. Naomba nikupea
count down ya chenga 8 kali za matobo zilizopigwa kwa mwaka 2015. Najua
unafahamu mchezaji kupigwa tobo uwanjani huwa inakuwa noma sana au aibu
flani, kutokana na wakati tukio hilo linafanyika lazima mashabiki wa
mchezaji husika washangilie na kumzomea mchezaji aliyepigwa tobo. Basi
hii ndio stori ya matobo 8 makali kutoka 101greatgoals.com
1- Lionel Messi alimpiga tobo James Milner wa Man City wakati ambao Pep Guardiola alikuwa jukwaani kama shabiki na kutabasamu kwa tukio la Messi.
Post a Comment