Mwenyekiti
wa CCM Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, Makamu Mwenyekiti Zanzibar
ambaye pia ni Rais wa Zanzibar Dkt.Ali Mohamed Shein(kushoto), Makamu
Mwenyekiti Bara Ndugu Philip Mangula(kulia) na katibu Mkuu wa CCM
Abdulrahman Kinana(watatu kushoto) wakati ufunguzi wa Kikao cha Kamati
Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kinachofanyika katika ukumbi wa White
House Mjini Dodoma.
Mwenyekiti
wa CCM Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiendesha kikao cha Kamati kuu
ya Halmashauri kuu ya CCM mjini Dodoma leo jioni.
Baadhi
ya wajumbe wa kamati kuu ya Halmashauri kuu ya CCM wakipitia ajenda za
kikao hicho leo katika ukumbi wa White House Makao makuu ya CCM mjini
Dodoma leo jioni.
Stephen Wasirra na Adam Kimbisa, wakijadiliana jambo.
Mh.Jesniter Mhagama na Jerry Slaa, wakiteta jambo.mfupi kabla ya kuanza kwa kikao cha kamti kuu mjini Dodoma leo.
Dkt.Emmanuel Nchimbi na Jenister Mhagama wakiteta jambo. (picha na Freddy Maro)
Post a Comment