0

1
Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, Makamu Mwenyekiti Zanzibar ambaye pia ni Rais wa Zanzibar Dkt.Ali Mohamed Shein(kushoto), Makamu Mwenyekiti Bara Ndugu Philip Mangula(kulia) na katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana(watatu kushoto) wakati ufunguzi wa Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kinachofanyika katika ukumbi wa White House Mjini Dodoma.
2
Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiendesha kikao cha Kamati kuu ya Halmashauri kuu ya CCM mjini Dodoma leo jioni.
3
Baadhi ya wajumbe wa kamati kuu ya Halmashauri kuu ya CCM wakipitia ajenda za kikao hicho leo katika ukumbi wa White House Makao makuu ya CCM mjini Dodoma leo jioni.
4
 Stephen Wasirra na Adam Kimbisa, wakijadiliana jambo.
5
Mh.Jesniter Mhagama na Jerry Slaa, wakiteta jambo.mfupi kabla ya kuanza kwa kikao cha kamti kuu mjini Dodoma leo.
6
Dkt.Emmanuel Nchimbi na Jenister Mhagama wakiteta jambo. (picha na Freddy Maro)

Post a Comment

 
Top