0
Pichani juu ni Winchi likinyanyua basi baada ya ajali ambapo watu 10 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 40 kujeruhiwa kutokana na ajali ya basi la Unique na lori la Cocacola kugongana uso kwa uso  mkoani Shinyanga leo.Sababu kubwa ya ajali hiyo inaelezwa kuwa ni mwendo kasi.
 Zoezi la kunyanyua mabaki ya basi hilo likiendelea
 Simanzi yatawala eneo la ajali
Winchi likiwa kazini huku wanahabari wkirekodi tukio la kunyanyuliwa basi hilo

Post a Comment

 
Top