Mkuu wa mkoa wa Lindi bi Mwatumu Mahiza (wakulia ayeshika maiki) wakisalimiana na meneja wa bima ya afya mkoa wa Lindi Fortunata Kulaya baada ya kupata cheti cha kuthibitisha ushiriki wa mfuko huo kuchangia mafunzo ya vijna wajasirimali 360 kutoka halmashauri sita za mkoa wa Lindi mafunzo yaliyoandaliwa na ofisi ya mkuu wa mkoa wa Lindi.
WAJASIRIAMALI 360 WAPATA MAFUNZO MKOANI LINDI.
Mkuu wa mkoa wa Lindi bi Mwatumu Mahiza (wakulia ayeshika maiki) wakisalimiana na meneja wa bima ya afya mkoa wa Lindi Fortunata Kulaya baada ya kupata cheti cha kuthibitisha ushiriki wa mfuko huo kuchangia mafunzo ya vijna wajasirimali 360 kutoka halmashauri sita za mkoa wa Lindi mafunzo yaliyoandaliwa na ofisi ya mkuu wa mkoa wa Lindi.
Post a Comment