0

Kipindi cha pili dakika ya 57 Neymar aliwapa bao la pili Brazil kwa kufanya 2-1 dhidi ya France. Luiz Gustavo aliiongezea bao tena la tatu na kufanya 3-1 dakika 69 kipindi cha pili baada ya kupigwa kona na hatimae Gustavo kutupia kwa kichwa kambani.France walipata bao lao kupitia kwa RaphaĆ«l Varane dakika ya 21 nao Brazil walisawazisha bao kupitia kwa  Oscar dakika ya 40 na kwenda mapumziko bao 1-1.

Post a Comment

 
Top