Rashid Makwiro 'Chid Benz'
Mahakama ya hakimu Mkazi Kisutu imemuhukumu kifungo cha miaka miwili jela Msanii wa Hip Hop, Rashid Makwiro 'Chid Benz' au kulipa faini ya shingili laki tisa baada ya kupatikana na hatia ya makosa matatu ikiwemo kukutwa na dawa za kulevya aina ya heroin yenye thamani ya sh. 38,638, bangi ya sh. 1,720 na vifaa ya kuvutia dawa hizo kijiko na kigae.
Mahakama ya hakimu Mkazi Kisutu imemuhukumu kifungo cha miaka miwili jela Msanii wa Hip Hop, Rashid Makwiro 'Chid Benz' au kulipa faini ya shingili laki tisa baada ya kupatikana na hatia ya makosa matatu ikiwemo kukutwa na dawa za kulevya aina ya heroin yenye thamani ya sh. 38,638, bangi ya sh. 1,720 na vifaa ya kuvutia dawa hizo kijiko na kigae.
MAHAKAMA
ya Hakimu Mkazi Kisutu leo imemwachia mwanamuziki Rashid Makwilo 'Chid
Benz' baada ya kulipa faini ya sh. 900,000/= kufuatia kukamatwa akiwa na
madawa ya kulevya.
Chid
Benz alikamatwa mwaka jana katika Uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Julius
Nyerere jijini Dar es Salaam akiwa na madawa ya kulevya, ikiwemo
misokoto ya bangi.
Mwanamuziki
huyo ambaye alikiri kosa hilo wiki iliyopita, alikamatwa uwanjani hapo
akiwa anajitayarisha kupanda ndege kwenda Mbeya kwenye tamasha la
muziki.
CHIDI
BENZ HURU:Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo imemwachia mwanamuziki
'Chid Benz' baada ya kulipa faini ya 900,000/= kwa kukutwa na madawa ya
kulevya.
Post a Comment