Picha
juu na chini zikimuonyesha Rais Joseph Kabila akiwa katika safari ya
kutembelea vijiji mbalimbali nchini mwake. Hali kama hii ni ishara tosha
hata kwa sisi watanzania ambao maisha yetu hayatofautiani na wakongo
tuone ni vema sasa tukawa na viongozi vijana ambao watakuwa na ujasiri
kama wa kiongozi huyu kijana, kwa ishara hii ni dhahiri ata viongozi
wanaomzunguka watalazimika kuwa kama yeye katika ujasiri wa kulitetea
taifa lao.
By Utukufu Kyando
Post a Comment