0
 
Huko Mjini Mombasa nchini Kenya, Watu wanne waliuawa jana Usiku na mamia ya wengine kujeruhiwa baada ya Vijana wanaoaminika kuwa wafuasi wa makundi ya kigaidi kuwashambulia kiholela wapita njia katika mtaa wa Kisauni Kaskazini mwa mji wa kisiwa hicho. Yaaminika vurugu hilo ilikuwa hatua ya Vijana hao katika kujibu uvamizi wa misikiti miwili Mjini Mombasa, uliotekelezwa jana alfajiri na na maafisa wa vyombo vya Usalama.

Post a Comment

 
Top