0

            Ujenzi wa nyumba ya mganga iliyojengwa katika kijiji cha Nangano wilayani Liwale
                                                   Mwonekano wa nyumba

Uboreshaji wa huduma za Afya wilayani liwale.
Nyumba ya mganga zahanati ya kijiji cha Nangano ikiwa imekamilika ni juhudi ya serikali na ushirikiano wa wananchi pamoja na viongozi wa ngazi ya kijiji na wilayani kukamilika kwa ujenzi huu itakuwa na tija kubwa katika upatikanaji wa huduma bora na za haraka za afya.

Post a Comment

 
Top